Burudani
Harmonize amuimbia Samatta jukwaani, Aahidi kuachia nyimbo mbili siku hii – Video
Harmonize amuimbia Samatta jukwaani, Aahidi kuachia nyimbo mbili siku hii - Video
Wakati @harmonize_tz akifanya show TEGETA alijitokeza kijana na kupanda jukwaani bila walinzi kuona na kwenda kumkumbatia HARMONIZE
Baada ya muda alishushwa chini na @harmonize_tz kumwambia meneja wake achukue namba yake kwa ajili ya kumuuliza ana shida gani.
Mbali na hilo Harmonize alitumia nafasi hiyo kumuimbia Samatta ju7kwaani pamoja na mashabiki waliofurika Tegeta.