Bongo5 ExclusivesBongo5 MakalaBurudaniDiamond Platnumz

Harmonize ashindwa kujizuia juu ya Diamond Platnumz (Video)

Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Harmonize amempongeza Diamond wimbo wake kuchezwa na Chris Brown adai ina faida kubwa sana Tanzania

Anasema kuwa kitendo hicho kina faida kubwa sana sio tu kwa Diamond bali kwa muziki wa Bongo Fleva kwa ujumla.

Anasema hayo ni matunda ya uwekezaji, haijaja kwa bahati mbaya bali amewekeza kwenye Promo na kwenye Quality ya muziki wake.

 

Kuangalia Video kamili bonyeza link hapa chini:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents