Michezo

Hispania, Ujerumani kukutana robo fainali

Kwa kuwa Hispania ameongoza kundi atacheza 16 bora na mshindi wa tatu wa kundi A,B,E. au F endapo atashinda mechi hiyo ataenda moja kwa moja robo fainali.

Ujerumani yeye pia ameongoza kundi lake na mechi ya 16 bora atacheza na Denmark kama atashinda mechi hiyo basi Robo fainali atacheza na Spain.

 

July 5, 2024 itakuwa Robo ya kwanza (Spain VS Germany)

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents