Burudani
Maisha ya Chid Benz ndio haya kwa sasa, aanzisha biashara ya mkaa, ana nyumba na Mke (+ Video)
Msanii na mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Chid Benz ameamua kuionyesha nyumba yake mpya na kuonyesha kwa mara ya kwanza mradi wake ambao ni wa kuchoma mkaa, lakini pia amuomba Mh. Rais Magufuli mambo kadhaa:-
By Ally Juma.