Michezo

Mbappe na Ronaldo kukutana Robo Fainali

Mataifa mengine makubwa ambayo yanaweza kukutana kwenye Robo Fainal ni Portugal dhidi ya Ufaransa.

Ufaransa amepita kwenye kundi lake na atacheza 16 bora na mshindi wa pili wa kundi E kama atashinda basi atafuzu Robo fainali.

Ureno pia ameongoza kundi lake a 16 bora anamsubiria mshindi wa tatu kati ya kundi A,B,C kama atashinda atacheza Robo fainali na Ufaransa.

Hii ni mechi kubwa katika hatua ya mtoano kama kila kitu kitaenda kama inavyodhaniwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents