Muonekano mpya wa ‘wowowo’ la Ruby waibua utata kwa mashabiki wake
Jana msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Ruby kupitia ukurasa wake wa Instagram aliposti picha ikimuonesha mwenye umbo kubwa tofauti na muonekano wake wa siku zote.
Picha hiyo ambayo ni ya kwanza kwa mwaka 2018 kwa msanii huyo kuonekana, Ruby aliiweka na kuwatakia mashabiki wake Kheri ya Mwaka mpya.
Watu wengi waliotoa maoni kwenye posti hiyo wameonekana kushangaa mabadiliko hayo ya ghafla huku wengine wakidai ametumia dawa za kuongeza makalio wengine wakiamini kuwa ametumia App ku’edit picha hiyo.
-
- utamu_babyĀ Mchina ruby huo yaan unatudangny hvhv wakat ulikua mwembamba kama mwiko Wa pilaušš
- fasamalsaidĀ Kweli hii mwaka mpya mambo mapya , hongera kwa mchinaĀ #wowowo
- koiyarachel@laur_de_patriqueĀ katoa wapi huu msambwanda jomoni katuzidi hadi sisi. Kweli kati ya kiboko na mamba, mamba ndio kiboko!!! pooohhhh…
- mamukimwanyaMara paah 2018 kitako icho
- officialsiahshoo1Kwel uchaw upo had 2018 ššunalala slim unaamka na bonge la wowowo
- mdogo_wake_hamisakama ni vigodoro duuuh wew umezidi umeweka kochi zima
Ukweli ni kwamba Ruby hajatumia dawa ya kichina wala kuvaa kigodoro bali picha hiyo imefanyiwa editingĀ kupitia Application maalumu zinazofanya kazi hiyo ya kuongeza maumbo kwenye picha.
Kuna Applications kibao ambazo hutumiwa na wanawake kuedit picha kama ya Ruby ambazo kama hutakuwa mtundu wa mambo ya Picha huwezi kugundua hata siku moja kama picha imefanyiwa Editing.