Michezo
Nunez awakataa Liverpool mazima
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool FC Raia wa Uruguay Darwin Nunez amefuta picha zote akiwa na jezi ya Liverpool FC kwenye ukurasa wake wa Instagram, sababu kubwa ni maneno ya ukosoaji unaoendelea kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo juu yake.
Kitendo hiki kinaacha maswali ya ziada kuhusu mustakabali wa Staa huyo kuelekea msimu ujao ndani ya kikosi cha majogoo wa Jiji.
Imeandikwa na Mbanga B.