Habari
Rais Magufuli awakanya viongozi wa dini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa dini na waumini nchini kujiepusha na migogoro mbalimbali ambayo imekuwa ikiharibu sifa na heshima ya taasisi hizo za dini.
Rais Magufuli amesema hayo leo Februari 4, 2018 alipo hudhuria ibada ya kuwekwa wakfu kwa Askofu wa tano wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam.
Soma taarifa;