Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amzungumzia namna msanii @realjaymelody alivyopewa heshima kubwa na wakubwa zake kwenye collabo ya Mapoz na Formula.
Wengi wameanza kuuliza maswali na kutaka kujua Jay Melody kafanya vizuri kwenye collabo ipo.
Jibu ni kwamba Jay Melody amefanya vizuri kwenye collabo zote mbili.
Mpaka sasa Jay Melody ameanza vizuri mwaka baada ya kupewa heshima ya kushirikishwa kwenye nyimbo mbili na kaka zake.
Kwa upande wake Jay Melody katisha kwenye ngoma ipi kati ya Mapoz na Formula ya @johmakinitz ??