Habari

Shahidi awasilisha sampuli ya mkojo wa Wema Sepetu mahakamani

Kesi inayomkabili muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu ya kutumia madawa ya kulevya imeahirishwa mpaka February 26, mwaka huu.

Wema Sepetu

Ambapo leo tena shahidi wa upande wa mashtaka Inspekta Willy ametoa ushahidi wa sampuli ya mkojo wa Wema alioupeleka kwa mkemia mkuu wa serikali kufanyiwa vipimo zaidi.

Awali ushahidi huo ulikataliwa mahakamani hapo na aliyekuwa wakili wa Wema wa kujitolea, Mhe. Tundu Lissu .

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents