Burudani

Team kubwa ya Cheka tu kukiwasha Musoma

Team kubwa ya standUp commedy ya @cheka.tu wamezungumza na waandishi wa habari kubwa zaidi ni kuhusu kuelekea show yao stand up comedy linalotarajiwa kufanyika tarehe 22/06 Mkoani Mara Musoma

Wakazi wa musoma balaa hii hapa la @txdullah @ndaro__ @jolmaster @leonardo_comedy_official @coy_mzungu na wengine wanakuja kukuvunja mbavu mkae mkao wa kucheka tu

Video nzima ipo katika Youtube channel yetu ya Bongo5
Written by @abbrah255 and @el_mando_tz

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents