Habari
Wanafunzi 279 Nigeria walioachiliwa baada ya kutekwa, wakutana na gavana (+ Video)
Gavana wa jimbo la Nigeria la Zamfara, Bello Matawalle, amekutana na kikundi cha wanafunzi ambao walikuwa wametekwa nyara Ijumaa katika shule ya bweni.
Wasichana 279 walipelekwa katika ofisi ya gavana katika mji mkuu wa jimbo Gusau kwa ajili ya kupatiwa maelezo.
Gavana Matawalle ameiambia BBC kuwa wasichana hao waliachiliwa baada ya kufanya mazungumzo na wanamgambo wenye silaha. Maafisa nchini Nigeria wamekiri kuwalipa kikombizi watekaji nyara, ili waachilie wasichana hao.
Gavana huyo alituma za kukutana na wasichana hao baada ya kuachiliwa kwenye ukurasa wake wa twitter.
Bofya hapa chini kutazama.
https://www.instagram.com/tv/CL6JEcpBZ0Z/