Habari
Zitto Kabwe,Mama Mongera Kwenye Kumbukumbu ya Chifu Mwami
ZITTO KABWE,MAMA MONGERA KWENYE KUMBUKUMBU YA CHIFU MWAMI WA KIGOMA
Viongozi mabalimbali wakiwemo wadau wa siasa Nchini wameshiriki kwenye maadhimisho ya kumuenzi aliyekuwa Chifu wa kwanza Mwanamke Tanzania Mwami Theresa ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Posta Jijini Dar es salaam ambapo katika hilo baadhi ya Viongozi akiwemo Zitto Kabwe wamefunguka kuwa jambo hilo linalinda historia hususani kwa jamii ya Waha Mkoani Kigo
Written by @abbrah255 and @el_mando_tz