Afande Sele amjia juu Mhe. Sugu ‘ulimtukana Rais jukwaani, matendo yako ndio yamemuua mama yako’
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini Tanzania, Afande Sele amesema kuwa kwa upande wa vyama vya upinzani ni Professor Jay pekee ndiye Mbunge anayeonekana kufanya kazi kwa bidii huku akimtolewa mfano Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuwa anaendekeza siasa chafu za matusi jukwaani.
Afande Sele amefunguka hayo kupitia mahojiano yake na Bongo5, ambapo amedai kuwa kauli ya Sugu kuwa mama yake amefariki kutokana na tukio la yeye kufungwa jela hilo ni kosa lake kwani alimtukana mkuu wa nchi, Rais Magufuli jukwaani jambo ambalo ni kosa kisheria. Sikiliza mahojiano yake hapa chini
Mhe. Sugu wiki iliyopita Agosti 28, 2018 wakati wa kuuaga mwili wa marehemu mama yake jijini Dar es salaam, alisikika akisema kuwa mama yake alizidiwa zaidi na presha baada ya tukio la yeye kufungwa jela kwa kosa la kumtukana Rais Magufuli jukwaani, ambapo hadi mama yake anakufa alikuwa anaamini kuwa mtoto wake alifungwa kwa kuonewa jambo ambalo lilipelekea homa yake ipande.
Mh huyu afande sele nayo vipo
Hakuna kitu rahis kupata skuiz kama kudataa……
Huyu anadata sasa……
Anaepanga kifo n Allah pekee kwa nn amhukumu mwenzake na katii yeye hajamtoa uhaii….duuuh
Idiot!
Ye Afande Anajuaje? KO aliye muua mkewe mama zubeda ni Bangi zake Au? Asijifanye anayajua mambo ya mungu Afande acha ujinga kwa kauli za kutafta kiki kwa magufuri wenzio wanatafta nafasi kww mungu mzee baba..
Jamani wa tz,uyu seleh sio hata bifu la vyama inakua ni wivu wa maisha sasa,tulia na maneno yako ya fitna aho malegends wenzako wanaweza kukusaidia seleh ,fitna sio nzuri ,miaka nenda miaka rudi aujapata mafanikio nawakati we we ni mchapaka Nazi ,unajua kwanini aufanikiwi?
Jibu=fitna na roho ya unafiki ,,
Afande kanyimwa nyota…#Wivu
Afande wa nn huyu
Afande sele# ujui siasa wew tulia au huza matikiti maji. Jinga sana kwaiyo unataka kusema aliyemuhua mama ake sugu ni rais kisa tu sugu alitoa manen machafu kwa rais acha utoto mbuzi ww
ππππ bange zikiuzwa laki hatutokutana na kaul kama hiz
Bangi mbaya sana
Afande sele. Anafuta pa kutokea
SELEH STOp NON SENSES.
Huyu mpumbavu tu kama wengine anatafuta kula kahama kutoka CDM , kaenda act sasa CCM lengo kura tu
Putooo nyoookooo sanaa onaa xx madhara yakeππππ
Oya MAPUSHA muwe mnamtolea mbegu Basi bange zake anazovuta uyu mgambo( km kweri ameongea)
Nyota yako Afande selle ilikuwa mbovu toka zamani enzi za usanii wako na aliyekuwa anakubeba ni sugu kwaiyo mpka sasa ndio umezidi kupoteana kabisa levo yako bado ndogo sana usijilinganishe na sugu brother sio levo yako uyo jamaa
Huyu chizi kweli,kulopoka gani huko???unaingza misiba naa vyama????
Afande kichwa sana kaongea point, kaongea kiini cha sababu ya kifo cha Mama yake Sugu
Huyu jamaa nae akapimwe akili
Afande wa bangiπ
Dah……!!!! Ndo kauli gan za kuongea hz………HuYu Mtu angelikuwa anaongea hizi kauli afu Yupo MBEYA CITY pale Angeona Cha Moto
Huna jipya kaka
Msenge..rema
Anajita mfalume kumbe hajielewi …afande sele na wewe mke wako alikufa baada ya kusikia harufu za bangi zako
Na aliomuua mke wako ni bange zako rais akupi kazi Mpaka uote kichuguu maana huna point mvuta bangi anaongoza mavi tu
Kama hamna hari za kuandika wekeni hata vibonzo hiyo sio habari ya kuandika
Kwahiyo ushahidi unao kuwa sugu kamuua mama yake au unachangia ili na ww uonekane Kuna mtu anaweza kumuua Mama yake kisha serkali imuache
Nenda Beach ndo level zako
Huyu afande sele aache udaku au na yy anataka cheo na minywele take michafu
Acha upuuz ww
Nilijua unakili kumbe ni kopo la chooni embu acha ufala ww kima kama huwez kumuongelea yy kama yy acha sio kuhusisha wazazi tena alishafariki blackfaken ww mfyuuuuuuuu
Given Giv Draxler we ndo unanuka maziwa kabisa kalale
Kwella Godfrey Author Ww n hawala wa afande sele
Mwendawazimu so lazma ashke rungu
Bangi zikizidi kichwani…..
Kauli zingine hazina mashiko, Ndo tatizo ukiwa na rasta na akili zinaisha, Bangi tu zimejaa humo kichwani mwako
ππππ
yaan we kweli hamnazo
Afande sele nae kawa fara tu. ..hana jipya
We na afande sele wote mashoga
huyu jamaa xaxa siku sio nyingi atarudia kuvua nguo jukwaani.
Kweli bangi haimuachi mtu salama
Mbna huyu afande sele hana akili kabisa
Uyo mabangi ata udiwan hapati na kujipendekeza kote
Anatafuta cheo huyo
Analaaana huyu mzazi anakujaje kwenye njaa zake
Pepo wewe!
Bangi bwana ilo chafu kuoga mbona linalopoka pumba linataka cheo π― gan Mgambo Au!
Bange 2
Hayo ni madhara ya bangi mwache siyo mda utaokota makopo
Wanao mtus afande warudie kusoma naona hamkumulewa nyinyi nihuo uchungu wa sugu nn kama ni mama kasha kufa sasa nn tena uchungu wamwana aujuaye mzaz kwasasa ukija na siasa ya kashfa utapopea siasa sio maneno machafu siasa nihekima na utulivu bas
Eeh ww yamefkia huko tena
Hyo afande sele anatafuna bangi sikuhzi badala ya.kuvuta
Bange izo selle
Huyu nae anatafuta kiki vbaya mnoo kusahaulika kwake anataka aibuke kwa style hii duuh Atapata taabu Sanaa ππ
bange punguza
sasa km kashakufa.yy afande anamuobgeleaje aliyekufa..ww nae kolo maji
Yani CCM ndo wamemsimamisha Afande apambane na SUGU NA JOSEPH HAULE?? hii nchi bwana.
hana elimu hana fans hana kitu..yn jamaa ni nothing..maana ccm nawenyewe wanaangalia mwenye kitu ili wamwongezee atoke..ss jamaa n kopo.
Bangi za kuvutia juwani shida
Kiboko yako ni solo thing wewe !! Boyaaa
Kwa vile wewe humtukani utaishi milele siyo!!!
Kutokana nakauli ilokuepo kwamba mama kauliwa na uchungu wa mwanae kupata matezo kwanihaya nayo yalizungumzwa wakat mama kafufuka ww ndohujilew wafikir hata sugu akipata urais atakujua apigania njaa yake yule na familia yake kwatarifa yako usiumizwe kichwa na vitu vya hovyo kaa utulie chamΓ‘ ni ccm milele daima
Anajishaua
Afande sele umeishiwa huna jipya
Acha bangi zako jinga sana. wewe
Simshangai afande sele coz ni mvuta bangi yule anacho fikiria ndo anacho ongea!!
πͺπͺπͺπͺπͺπππππ
We nae lijinga kweri!!
Huyu afande atakua mchawi sio bure na roho mbaya ndo inamtesa zaidi hayo ni maumiv tu ya sugu na profesa kuwa wabunge kiroho kinakusonona uchaw sio lazma ukutwe juu ya paa unawanga hata kauli zako pia zitakutambilish km ni mchaw na una roho ngum loooh sura imemkauka km kanywa sumu
Bangi za arachuga haijawahi kumuacha mtu swalamaa
Afande MAKU
Ganja bhn!
Ona sasa, wanamchanganyia na mbegu mbichi keshaanza kuwa chizi…. Wazee muoneeni huruma musimuuzie tena kijiti