Barua ya wazi kwa Darassa: How you can capitalize on your music success
Burudani
December 29, 2016 - 5:32 pm
Barua ya wazi kwa Darassa: How you can capitalize on your music success
Dear Darassa, Kwanza kabisa ningependa nichukue nafasi hii kukupongeza kwa mafanikio makubwa ya single yako ya Muziki, kiukweli ni nyimbo…
Chama cha wafugaji chalaani tukio la kuchomwa mkuki mkulima
Habari
December 29, 2016 - 12:57 pm
Chama cha wafugaji chalaani tukio la kuchomwa mkuki mkulima
Chama cha wafugaji nchini, kimelaani vikali kitendo cha mfugaji kujichukulia hatua na kumchoma mkulima mmoja aliyejulikana kwa jina la Augustino…
Mwalimu anaswa akiishi na mwanafunzi kama mume na mke
Habari
December 29, 2016 - 11:45 am
Mwalimu anaswa akiishi na mwanafunzi kama mume na mke
Wananchi wa katika kijiji na kata ya Guta, wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamelalamikia vitendo vinavyofanywa na baadhi ya walimu…
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu kuanzisha kikosi cha kuwanasa wadaiwa sugu
Habari
December 29, 2016 - 8:51 am
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu kuanzisha kikosi cha kuwanasa wadaiwa sugu
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul Razaq Badru ameunda kikosi maalumu (Task…
Chuo cha kimataifa cha marubani kujengwa Mbeya
Habari
December 28, 2016 - 12:34 pm
Chuo cha kimataifa cha marubani kujengwa Mbeya
Chuo cha kimataifa cha marubani nchini kinatarajiwa kujengwa katika kiwanja kidogo cha ndege kilichopo katikati ya jiji la Mbeya. Mwakilishi…
Arusha: Amuua mwenzie wakigombea soda
Habari
December 28, 2016 - 11:41 am
Arusha: Amuua mwenzie wakigombea soda
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia mkazi wa Olasiti, jijini Arusha, Hamisi Amani (17), kwa tuhuma za kumuua mwenzake…
Profesa Mbarawa akumbusha kampuni za mawasiliano kujisajili soko la hisa
Habari
December 28, 2016 - 10:44 am
Profesa Mbarawa akumbusha kampuni za mawasiliano kujisajili soko la hisa
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, amezitaka Kampuni za Mawasiliano kukamilisha taratibu za usajili katika Soko la…
Chidi Benz: Ni moyo na maamuzi yake pekee yaliyobaki kumnyanyua alikoanguka
Burudani
December 28, 2016 - 7:22 am
Chidi Benz: Ni moyo na maamuzi yake pekee yaliyobaki kumnyanyua alikoanguka
Kuna mtaalamu wa masuala ya falsafa aliwahi kusema, ‘Yai linapopasuliwa kutoka nje huwa mwisho wa uhai kwa kiumbe kilichopo ndani,lakini…
Mwanafunzi ajeruhiwa na risasi kichwani
Habari
December 27, 2016 - 5:43 pm
Mwanafunzi ajeruhiwa na risasi kichwani
Mwanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya sekondari Mringa, Vanessa Josephat [16] mkazi wa Sakina jijini hapa amejeruhiwa vibaya…
Zitto Kabwe na mkewe wapata mtoto wa kike
Habari
December 27, 2016 - 2:07 pm
Zitto Kabwe na mkewe wapata mtoto wa kike
Mwenyekiti wa chama cha ACT wazalendo, Zitto Kabwe amefanikiwa kupata mtoto wa kike. Mtoto huyo amezaliwa saa 1 na dakika…
Top African songs of 2016 – Anyiko’s Top 10
Burudani
December 27, 2016 - 1:06 pm
Top African songs of 2016 – Anyiko’s Top 10
As 2016 comes to an end, I am happy to reflect on some of the songs that collectively made my…
Hili ni ombi la Rais Magufuli kwa Watanzania mwaka 2017
Habari
December 27, 2016 - 11:44 am
Hili ni ombi la Rais Magufuli kwa Watanzania mwaka 2017
Rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaomba Watanzania wote kuutunza na kuudumisha umoja katika mwaka 2017 huku akiwataka kufanya…
Serikali kuendelea kutoa dawa za kutibu sumu ya nyoka
Habari
December 27, 2016 - 11:32 am
Serikali kuendelea kutoa dawa za kutibu sumu ya nyoka
Serikali imesema itaendelea kutoa dawa zinazotibu sumu ya nyoka ili kupambana na tatizo hilo nchini. Kauli hiyo ya serikali ilitolewa…
Madaktari wamuokoa mkulima aliyechomwa mkuki mdomoni na kutokea shingoni
Habari
December 27, 2016 - 9:37 am
Madaktari wamuokoa mkulima aliyechomwa mkuki mdomoni na kutokea shingoni
Kuna msemo usemao hakuna aijuae kesho yake, huku wengine husema kesho ni fumbo hii imetokea mjini Morogoro kwa mkulima na…
Presha ya Christmas: SUMATRA waruhusu daladala kusafirisha abiria Moshi na Arusha
Habari
December 24, 2016 - 6:39 pm
Presha ya Christmas: SUMATRA waruhusu daladala kusafirisha abiria Moshi na Arusha
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA wamelazimika kuruhusu magari madogo maarufu (daladala) kwenda mikoa mbalimbali…