Habari
Babu Tale, Mkubwa Fella wote waongea walichojadiliana na BASATA kuhusu mkataba wa Rich Mavoko na WCB (+VIDEO)
Baada ya kuitikia wito wa kuitwa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA). Mameneja wa Diamond Platnumz ambao ni miongoni mwa viongozi wa WCB, Babu Tale na Mkubwa Fella wameeleza baadhi ya vitu walivyofanikiwa kuongea na baraza hilo.
Shule
Kama hawezi kukimbia ipo siku utaweza sasa weka maiki wambali ushuhudie umwenyewe