Burudani

Binti wa Rais Kagame anayetajwa kuwa mrembo kuliko watoto wa Marais wote Afrika afunga ndoa (+picha)

Mtoto pekee wa kike wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, Ange Kagame juzi Ijumaa amefunga ndoa ya kimila na mchumba wake wa muda mrefu Bertrand Ndengeyingoma.

Ndoa hiyo imefungwa huko Ntebe Mashariki mwa Rwanda kando kando mwa ziwa Muhazi.


Umusore yashyikirijwe umukobwa yasabiwe

Ange Kagame (25) mara kwa mara, amekuwa akitajwa na mitandao mbalimbali kuwa ndiye mtoto wa Rais ambaye mrembo zaidi barani Afrika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents