Habari
BREAKING: Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi. Theresa May atangaza kujiuzulu, Mpango wa ‘Brexit’ wamtokea puani
Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi. Theresa May ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo, ifikapo Juni 7, mwaka huu. Huku chanzo kikubwa kikitajwa kuwa ni mvutano wa mkataba wa Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya (Brexit).
May amehudumu nafasi hiyo kwa miaka mitatu, tangu achukue nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Taifa hilo, David Cameron.