Burudani

Country Boy afunguka haya baada ya kutambulishwa na kukabidhiwa gari na Harmonize (+Video)

Msanii wa muziki wa Bongo fleva ambaye ni Rapper Country Boy ameongea kwa mara ya kwanza akiwa chini ya lebo ya Konde Gang iliyopo chini ya Harmonize mara tu baada ya kutambulishwa na kukabidhiwa gari lake mpya.

Country Boy anakuwa msanii wa 6 katika lebo hiyo kwani tayari yupo Harmonize, Ibrah, Skales, Cheed na Killy waliotambulishwa siku kadhaa nyuma na sasa Country boy. Hizo gari mbili kama zinavyoonekana hapo moja ni ya Country boy na nyiingine ya Ibrah.

https://www.youtube.com/watch?v=ifZID98YS5Q

https://www.youtube.com/watch?v=hmN8vQQGL8k

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents