Habari
DC Nachingwea na Mkurugenzi wake waingia kwenye 18 za Rais Magufuli ‘Nieleze hizo fedha umepeleka wapi?’ (+vidoe)
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Rukia Muwango na Mkurugenzi wake wamemkwaza Rais Magufuli kwa kuchelewesha kukamilisha miradi ya maendeleo wilayani humo ili kusaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.