Burudani
Diamond na Mameneja wake waweka wazi sakata la Rich Mavoko kuondoka WCB (+video)
Uongozi wa WCB leo Agosti 14, 2018 umeweka wazi kuwa ni kweli Rich Mavoko ana matatizo na lebo hiyo kubwa barani Afrika na tayari mambo yote yameshapelekwa BASATA na wanatarajia kukaa kikao na Baraza hilo na baada ya hapo BASATA watatangaza rasmi maafikiano yatakayopatikana.
Akizungumza kwa niaba ya Uongozi wa WCB, Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam amesema kwa sasa asingeliweza kuzungumzia kila kitu kwani ishu hiyo ipo BASATA ila wataongea rasmi baada ya maafikiano.
Wiki iliyopita Rich Mavoko alienda BASATA kulalamika kuwa mkataba wake na WCB unamnyonya na kulitaka Baraza hilo kuupitia upya.
Yohanes Julius link babaa free mode leo
Mim mwnyw nmepita tu free data π
Laug
Barda
hehe
naisi na RAYVANN atafata
ππππππππ
Eti #lebo_kubwa_barani_africa
Wakati unasaini ulifumba macho au ndio jina la lebo ulichachawa
Waongee nae tu wakubaliane upya maana @Rich Mavoko ni msanii mzuri na kipaji anacho ila akiimba peke ake peke ake hata hasikiki.Kwa mfano pindi hajasign WCB alitoaga ngoma inaitwa Pacha Wangu ila haikuwika na zipo ngoma kibao nyuma ya hiyo nzuri ila hazikuhit lakini alivo sign WCB akatoa Ibaki Story kuna watu ndo wakamfaham na kuanza kumfatilia wakidhani ni upcoming artist wakati ni mkongwe.!!! Kwa hiyo yeye mwenyewe atulize akili kisha afanye uamzi sahihi hasije jikuta baadae anajutia uamzi wake.
#WCB_The_house_of_Hits.
Kwn kixa nn jmn!!!???
Mbn celw
Ndo najiuliza Na Mimi mkataba maana yake Na wewe unausoma ukilizika unasaini Sasa sielewi hapo