Burudani

Done deal kwa Bill Nass kwa kugemua katika elimu

Hit maker wa ‘Sina Jambo’ Bill Nass au Bill Nenga amehitimu rasmi masomo yake katika Chuo cha Biashara (CBE) kilichopo jijini Dar Es Salaam, na kutunikiwa Shahada yake ya kwanza.

Rapper huyo wa ngoma kadhaa zinazofanya vizuri katika media mbalimbali ameingia katika orodha ya wasanii waliohitimu masomo yao kwa mwaka huu kama vile mkali wa RnB Bongo, Jux aliyehitimu masomo yake mwaka huu nchini China.

Pia atakuwa mwiongoni mwa wasanii mwenye elimu ya juu ambao kuna mastaa kama  katika kiwanda cha burudani nchini .

https://www.instagram.com/p/BbXE17eFUky/?taken-by=billnass

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents