Habari

IRINGA: Kamanda asimulia wafungwa walivyomjeruhi kwa panga askari na kumpora bunduki

Wafungwa wanne wampora askari magereza bunduki na kumjeruhi na panga usoni. Tukio lasimuliwa lilivyokuwa na kamanda.

Wafungwa watatu walikamatwa siku hiyo hiyo na baadaye nyamapara alipatikana siku inayofuata mkoani Njombe.

https://www.instagram.com/p/CH2TFP4hJUF/

https://www.instagram.com/p/CH2TFP4hJUF/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents