Habari

Mch. Peter Msigwa apigwa ‘STOP’ kufanya mikutano jimboni kwake, jeshi la polisi latoa sababu

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa amepigwa marufuku na Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa ya kuendelea na mikutano ya kisiasa kwenye kata zote za jimbo lake.

Image result for Peter Msigwa na polisi
Mchungaji Peter Msigwa

Kwa mujibu wa barua hiyo kutoka kwa Jeshi la Polisi, imeeleza kuwa Mchungaji Msigwa amekuwa akitoa maneno ya kashfa na uchochezi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents