BurudaniUncategorized
MUSIC AUDIO: Fid Q aachia wimbo wa dakika 7 ‘Kiberiti’ akiwa na Saida Karoli, awataja Alikiba, Gwajima, Bashite na Rayvanny
Yes! Rapper Fid Q ameachia ngoma yake mpya ya Kiberiti ambayo amemshirikisha Muimbaji Saida Karoli. Wimbo huo wenye dakika 7 ameelezea mambo mengi yanayohusu maisha ya kawaida.
Kwenye mashairi ya wimbo huo ametaja majina ya watu wengi yakiwemo Alikiba, Rayvanny na Askofu Gwajima huku Saida Karoli akipita na kiitikio (chorus ).
Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Lufa kutoka Wanene Studio na mixing imefanywa na Chizan Brain.
Mbona hajamtaja #MAGU… aone kama hicho kiberit Kimejaa au laa!!!?
Qaliii blood#
Tumpe tuzo za hip and hop.
Iko vzr
Hii ni nyingine ya moto sana
we ngosha nae bange hhhhha
we ngosha nae bange hhhhha
#Normal
bila kumsema mtu sikuhizi hutoboi
Watapa rahaaa Sana na kpigo Chao ktakuwa ni cha nguruwe mwitu
Omar Kioko ni hayo tu
13
Huo nimtazamo wako°
Hajakosea