Habari
Rais Magufuli “Viongozi watakaoshindwa kusimamia watu kujiandikisha kupiga kura, Watanzania wasije wakanishangaa kwa maamuzi’ – Video
Rais Magufuli "Viongozi watakaoshindwa kusimamia watu kujiandikisha kupiga kura, Watanzania wasije wakanishangaa kwa maamuzi' - Video
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewatahadharisha viongozi watakaoshindwa kuhamasisha watu kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na kusema atamuomba Waziri wa Tamisemi Jafo ampelee takwimu za kila halimashsuri .
By Ally Juma.