Habari
Ray Kigosi kuhusu Kanumba “Namuombea sana kwa mungu ampumzishe mahale pema, ipo siku mungu atanichukua na ntakutana nae Inshaalla” – Video
Ray Kigosi kuhusu Kanumba "Namuombea sana kwa mungu ampumzishe mahale pema, ipo siku mungu atanichukua na ntakutana nae Inshaalla" - Video
Ray Kigosi azungumza kwa uchungu kuhusu aliyekuwa rafiki yake marehemu kwa sasa Steven Kanumba na kusema “Namuombea sana kwa mungu ampumzishe mahale pema, ipo siku mungu atanichukua na ntakutana nae Inshaalla”
Ben kuhusu Mama Kanumba “Siwezi kumtupa lbda mungu anichukue”
By Ally jUma.