Burudani

Sababu za kuvunjika kwa ndoa ya Sister Fey na mume wake zawekwa wazi, Holystar afunguka “Alisababisha nikabadili dini, najuta” (+ Video)

Ndoa iliyodumu kwa zaidi ya miezi mitano ambayo ilikuwa na vitimbwi vingi, kati ya wasanii wawili wa BOngo Fleva Sister Fey pamoja na Holystar mwisho wa siku imevunjika.

Akifunguka katika mahojiano aliyofanya na Bongo5, aliyekuwa na mume wake na Sister Fey ambaye ni Holystar amesema kuwa:- Sister Fey alianza kubadilika kwanza na yeye hataki kupelekeshwa”

Sehemu ya 1 ya mahojiano
Sehemu ya 2 ya mahojiano

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents