Habari
Tamasha la Nyama Choma kufanyika jijini Arusha April 27
Tamasha la Nyama Choma jijini Arusha linatarajiwa kufanyika April 27, kwenye viwanja vya Nane Nane kwa kiingilio cha shilingi 10,000 tu. Tazama poster kwa taarifa zaidi.
Tamasha la Nyama Choma jijini Arusha linatarajiwa kufanyika April 27, kwenye viwanja vya Nane Nane kwa kiingilio cha shilingi 10,000 tu. Tazama poster kwa taarifa zaidi.