Habari
VIDEO – Tazama live Bajeti kuu ya Tanzania 2019/20 ikisomwa bungeni na Waziri wa fedha
Leo Alhamisi ya Juni 13, 2019 Bajeti kuu ya mwaka mpya wa fedha wa 2019/20 inawasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dkt. Philip Mpango. Fuatilia matangazo hayo mubashara hapa chini.