Habari

Waziri Kigwangalla: Sijui kwanini Kenya wanalalamika, tunawakaribisha kwetu waje kutalii (+Video)

Sijui ni kwanini Kenya wanalalamika na siwezi kuwasemea Kenya Utalii wa ndani umekuwa kwa kasi sana, tumewahamasisha wafanyabiashara wa sekta ya utalii washushe gharama ili ziwe chini kiasi kwamba Watanzania wengi zaidi waweze kwenda kufurahia vivutio vyao “ – Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. @hamisi_kigwangalla katika tukio la uzinduzi wa matumizi ya mhuri wa SAFE TRAVELS.

https://www.youtube.com/watch?v=On1UW1GjmnI

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents