Habari

Wenzetu upande wa pili wanatamani kuona tunasusia uchaguzi – Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe amewataka Viongozi, Makada na wanachama wa chama hicho, kutosusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwani kufanya hivyo ni kukamilisha malengo ya wapinzani wao.

Mbowe amesema hayo leo Jumanne Oktoba 16, 2019 kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na kuwaomba Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura wajiandikishe kwenye daftari la orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mtaa unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents