Michezo
Yanga kukipiga leo
Mechi kati ya JKT na Yanga Sc iliyoahirishwa jana Aprili 23, 2024 itapigwa leo Aprili 24 kuanzia saa 10:00 kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo awali ulishindikana kuchezwa hapo jana kutokana na uwanja huo kujaa maji kutokana na mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha.