Habari
Video : Mazishi ya mtangazaji wa EFM, Seth Katende yalivyofanyika Jumatano hii
Jamatano hii majira ya mchana ilihitimishwa safari ya hapa duniani katika makaburi ya Kinondoni ya mtangazaji wa kipindi cha Ubaoni, Seth Katende aliyefariki siku ya Jumapili katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Mazishi hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, siasa, wasanii na watu wengine. Tazama hapa chini video ya tukio hilo .
Na Laila Sued