Burudani
Ben Pol aonyesha saa yake ya rolex ya tsh milioni 50 “Sasa hivi ni mwendo wa brand tu”
Msanii wa muziki, Ben Pol amefunguka kuzungumzia namna maisha yake yalivyobadilika baada ya kukutana na mpenzi wake wa Kenya ambaye amemvalisha pete wiki kadhaa zilizopita.