Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya @kingsmusicrecords @officialalikiba kupitia mtandao wa X zamani kama Twitter ameamua kujibu kauli ya mchekeshaji kutoka Geita @nyandakabundi_
@nyandakabundi_ wakati anafanya mahojiano na @el_mando_tz alisema kuwa @officialalikiba ni msanii anayesikilizwa sana kwao Geita na anatamani kukutana naye.
@officialalikiba ame-Re-Tweet post ya Bongo5 ikinukuu kauli ya @nyandakabundi_ Twitter na kusema kuwa ataenda GEITA.
Sikiliza Interview yake hapa chini.