Habari
Ally Hapi aendelea na ziara yake ya siku 3
Katibu Mkuu Jumuiya ya wazazi CCM Taifa mhe Ally Hapi ameendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Dodoma akitokea mkoani Iringa ambapo ziara hiyo imeanza katika kata ya Mlowa barabarani jimbo la Mvumi halmashauri ya wilaya ya Chamwino na kupokelewa na viongozi wa chama na serikali.
Imeandikwa na Mbanga B.