Michezo
Araujo kutimkia Man United
Barcelona wanaripoti kufungua milango kwa klabu zinazotaka huduma ya mchezaji wake Ronald Araujo, huku taarifa zikisema mashetani wekundu wameshafanya jambo.
Taarifa zinadodosa kuwa Manchester United tayari wameshaweka OFA kubwa mezani kwa ajili ya beki huyo Raia wa Hispania.
Araujo amecheza mechi 36 akiwa na Wakatalunya hao msimu huu.
Imeandikwa na Mbanga B.