Burudani

Baba levo atimba BASATA baada ya kuitwa siku ya jana (+ Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Baba levo tayari ypo BASATA na hii ni baada ya kuthibitisha kuwa ameitwa , kupitia ukurasa wake wa Instagram Baba levo aliandika kuwa amepokea simu kutoka BASATA na ameambiwa afike saa tatu asubuhi na tayari ameshafika.

Haijafahamika alichoitiwa lakini huenda ni kutoakna na kinachoendelea mitandaoni kati yake na Harmonize kama tunavyofahamu BASATA walitoa angalizo jana kuwa kwa msanii atakayejihusisha tena na hayo mambo ya kurushiana maneno machafu basi watamchukulia hatua za kisheria.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents