Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Baba levo: Manara aachane na yule mwanamke na aache kutuma voicenote
Akiongea na @el_mando_tz kwenye kipindi cha Recap na Mando Baba levo ameeleza kuwa wao kama watu wa karibu na Manara wamemshauri aache kutuma voicenote.
Baba levo ameongeza kuwa wamemshauri Manara ajilie maraha Zanzibar na aachane na huyo mwanamke mara moja.
Haya yanatokea baada ya Manara kuamua kuachana na aliyekuwa mke wake wa pili kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi na pande zote mbili.
Mbali ya Manara kuzungumza kwenye baadhi ya media lakini mwanamke huyo hajaongea chochote.