Michezo
Barcelona ya shinda kombe la Mfalme
Klabu ya FC Barcelona imetwaa kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey, usiku wa May 22 2016 walifanikiwa kutwaa taji la pili baada ya kufanikiwa kuifunga Sevilla katika mchezo wa fainali ya Kombe hilo.
Wachezaji Jordi Abba na Neymar ndio walio iwezesha Barcelona kutwaa taji hilo katika Fainali iliyopigwa Jijini Madrid kwenye Uwanja wa Atletico Madrid wa Estadio Vicente Calderon.
Hii ni Fainali ya 37 ya kombe la kwa Barcelona huku Barca wakishinda mara ya 28 sasa.