Burudani

CMEA yatoa takwimu ya redio na runinga zinazocheza nyimbo nyingi Tanzania

Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) Jumanne hii imetoa takwimu ambazo zinaonyesha ni redio gani na runinga nchini ambazo zinaongoza kucheza nyimbo nyingi kuliko matangazo.
12974403_802515133225257_6646937415794539027_n

CMEA kupitia facebook, walipost hiyo hapo juu na kuandika:

Tambua vituo ishirini bora vya runinga na redio vilivyoongoza kucheza Muziki kwa wingi mwezi Machi, Choice FM yashikilia nafasi ya kwanza ikifuatiwa na TBC International.

12998623_805018622974908_2015643507876834573_n
Uwiano wa idadi kati ya nyimbo zilizochezwa na matangazo yaliyorushwa katika luninga zetu hapa nchini kwa mwezi Februari. EATV imeongoza kwa kucheza nyimbo nyingi kuliko matangazo ikifuatiwa na Clouds TV, Zilizobaki zinaongoza kwa upigaji wa matangazo.

13012799_805019946308109_3457103951552612697_n
Uwiano wa uchezaji nyimbo na matangazo katika stesheni za redio jijini Dar es Salaam kwa mwezi Februari huku Clouds FM na RFA zikiongoza kwa kurusha matangazo. Stesheni zilizobaki zinapiga muziki kwa asilimia kubwa kuliko matangazo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents