Habari
Dkt. Jakaya Kikwete kumwakilisha Rais Magufuli nchini Zimbabwe
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete atamwakilisha Rais Magufuli nchini Zimbabwe kwenye sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Taifa hilo, Emmerson Mnangagwa.
Sherehe hizo zitakazofanyika kesho Jumapili Agosti 26, 2018 zinatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi wakubwa barani Afrika Afrika wakiwemo Marais wa nchi mbalimbali.
😝kuongea lugha ya malikia mbele ya halaki ya watu c mchezo…inaitaji vyet original.
Hehehehehehehehe
Kuna mtu aliwahi ‘kusimangwa’ kuwa anapenda kusafirisafiri sana?!
Umoja ni nguvu utengano ni uzaifu, inapendeza kwakweli.