Michezo

ELie Mpanzu akubali kutua Simba

ELIE MPANZU UPDATES – Winga Elie Mpanzu ameshakubali kujiunga na klabu ya Simba kuelekea msimu ujao na mpaka sasa maongezi yapo hatua za mwisho kati ya Mabosi wa AS Vita na Raisi Mo Dewji. – Mambo yaliyobaki ni masuala ya kifedha tu kuhusu klabu ya AS Vita kumuachia Mpanzu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents