Habari
Elikem: She was a bit noisy, but I kinda miss Feza (Video)
Mghana Elikem anadai licha ya kwamba Feza Kessy alikuwa na kelele nyingi ndani ya BBA house, tangu aondoke amehisi kuna kitu kimepungua na sasa amemmiss.
Hata hivyo kauli hiyo imetafsiriwa na watu wengi kuwa anatafuta huruma na kura ya Afrika Mashariki.
“Liar; he thinks he will earn EA votes! FORGET. EA FOR ANGELO. Like she said he is such a baby. Bimp is good but Ethiopia did not support any East African at any particular juncture,” ameandika Naimah George wa Nairobi.
Naye Daisy Daniel ameandika: You a big liar Elikem u hate feza! East Africa we are not a stupid people.”