Burudani

Feza Kessy na washiriki wengine wa zamani 9 warejea Big Brother!

Shindano la Big Brother Africa limechukua sura mpya baada ya washiriki wa zamani wa shindano hilo kuingia mjengoni na kuwa housemates wa Hotshots.

bba

Hatua hiyo iliwashangaza housemates wa sasa huku mashabiki wakidai kuwa Big hajawatendea haki hasa kwakuwa nao pia watawania fedha hizo.

Washiriki hao wa zamani waliorejea kwenye mjengo huo ni pamoja na Feza Kessy, Miss P wa Botswana, Miss_Vimbai wa Malawi, Luclay wa Afrika Kusini, Uti wa Nigeria, Elikem wa Ghana, Sulu wa Zambia, Leone wa Zimbabwe na Uganda ni Denzel.

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents