Burudani
G Nako alivyomkaribisha msanii wa Jamaica Debbie De Fire (Video)
Msanii wa muziki kutoka Kundi la Weusi, G Nako amemkaribisha nchini msanii wa muziki kutoka Jamaica, Debbie De Fire ambaye amewahi kufanya kazi na wasanii wakubwa duniani akiwemo Bob pamoja na wasanii wengine.