Burudani

Hemed adai hajawahi kuwa na mahusiano ya wasanii wa filamu lakini ‘amewachapa’ wengi

Msanii wa filamu Hemed Suleiman amefunguka kwa kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu lakini wengi amewachapa.
Hemedy-PHD

Mwigizaji huyo ni miongoni mwa wasanii wa filamu mwenye mvuto kutoka na kujiremba kwake pamoja uvaaji.

Akiongea na Times Fm hivi karibuni, Hemed aliulizwa kuhusu kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu.

“Ngoja niseme hili sijawahi kuwa kwenye mahusiano na Mastaa, ila kuwachapa ni wengi sana” Alisema.

Katika hatua nyingine, Hemed alisema hapendi kufanya filamu ila pesa ndio inamfanya kuwa mwigizaji.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents