Michezo
Ibrahimovic azitolea nje klabu za China
Mchezaji wa klabu ya Manchester United, Zlatan Ibrahimovic pamekuwa na taarifa zinasema kuwa amezikatalia klabu za nchini China, hizi ni zile klabu ambazo zimekuwa na nia ya kumsajili akakipige kule kwao.
Uongozi wa Manchester United umejipanga kuzungumza na mchezaji huyo ambaye sasahivi anamagoli 12 katika ligi ya EPL ili kumuongezea mkataba mpya wa kuendelea kubakia United.