Burudani
Idris amkingia kifua Wema Sepetu, ni baada ya kuambiwa anamharibu
Ukitaka kukosana na Idris Sultan, mtukane kipenzi chake, Wema Sepetu.
Mshindi huyo wa shindano la Big Brother Africa mwaka 2014 aligeuka mbogo baada ya shabiki mmoja kudai kuwa Wema anampoteza.
Soma mwenyewe: